Wabunge hao wanajipanga kujibu tuhuma hizo kwakuwa zinawachafua wao,chama cha Mapinduzi na Serikali ya Rais Magufuli. Wanajipanga kumtaka Msemaji wa CCM,Ole Sendeka kutoa tamko la kichama.
Mambo yanazidi kunoga!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Tags
Bunge
