Nakukutanisha na mbunge wa jimbo la Nzega mjini (CCM) Hussein Bashe
ambaye alipata nafasi ya kusimama bungeni kuwasilisha maoni yake kuhusu
muswada wa habari uliowasilishwa na Wizara ya habari, utamaduni na
michezo chini ya waziri wake Nape Nnauye, mtazame Bashe kwenye hii video hapa chini