BANDA MEDIA BLOG

VIDEO: Hussein Bashe kasimama tena bungeni, sasa hivi ni kuhusu muswada wa habari

Nakukutanisha na mbunge wa jimbo la Nzega mjini (CCM) Hussein Bashe ambaye alipata nafasi ya kusimama bungeni kuwasilisha maoni yake kuhusu muswada wa habari uliowasilishwa na Wizara ya habari, utamaduni na michezo chini ya waziri wake Nape Nnauye, mtazame Bashe kwenye hii video hapa chini

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG