BANDA MEDIA BLOG

VIDEO: Zitto Kabwe aliposimama kwa dakika 10 bungeni kuhusu muswada wa habari

Naripoti kutoka bungeni Dodoma ambapo ishu kubwa sasa hivi ni muswada wa habari uliowasilishwa jana kutoka kwa Waziri wa habari, utamaduni, sanaa na michezo Nape Nnauye, Wabunge mbalimbali wamesimama na kuongea.

Zitto Kabwe ni miongoni mwao amesimama kwa dakika kumi na kuyaongea haya hapa chini kwenye video, ‘Muswada huu unatengeneza Muhariri mkuu wa taifa ambaye ni Waziri wa habari

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG