BANDA MEDIA BLOG

WANAFUNZI 700 WAHITIMU KATIKA CHUO KIKUU CHA SERIKALI ZA MITAA NA KUOMBEWA AJIRA

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI George Simba Chawene akifafanua jambo wakati alipokuwa mgeni Rasmi kwenye mahafali ya 8 ya Chuo cha Serikali za Mitaa kilichopo Homboro nje kidogo ya mji wa Dodoma

Mwenyekiti wa Bodi ya chuo Kikuu cha Serikali za Mitaa TAMISEMI Professa  Athuman Ngware akiongea kwenye mahafali hayo
Mkuu wa Chuo hicho Dkt, Mpamila Madale akizungumza jambo wakati wa mahafali hayo [IMEANDALIWA NA BANGA BLOG]







 



 
Wahitimu


 

Waziri wa Nchi ofisi ya Rais Tamisemi George Simbachawene akimpongeza mhitimu Mrisho Kagembe Said kwa kufanya vizuri katika masomo yote ambapo kwa upande wa wasichana aliyefanya vizuri alikuwa Kalista Kauki

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG