
Kikosi cha Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam FC, kilipoanza mazoezi leo asubuhi kujiandaa na mchezo ujao wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) dhidi ya Majimaji utakaofanyika Uwanja wa Majimaji, mjini Songea, Jumamosi hii.

Wachezaji wa Azam FC wakifanya mazoezi tofauti ya viungo

Beki wa kati wa Azam FC, Aggrey Morris, akiruka juu kwenye mazoezi ya viungo ya kuruka koni.

Beki wa kati wa Azam FC, Yakubu Mohammed, akimzuia winga Enock Atta Agyei

Kiungo wa Azam FC, Salum Abubakar ‘Sure Boy’, akijaribu kumtoka winga Enock Atta Agyei

Kipa wa Azam FC, Mwadini Ally, akiruka juu wakati wa mazoezi ya magolipa chini ya Kocha wa Makipa, Jose Garcia
Tags
MICHEZO KITAIFA