BANDA MEDIA BLOG

BEACH SOCCER: TANZANIA YAITAMBIA UGANDA


roch_somoka
Timu ya Taifa ya mpira wa miguu unaochezwa ufukweni (Beach Soccer) ya Tanzania imeifunga Uganda mabao 7-5 katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliofanyika leo Ijumaa Desemba 9, 2016 kwenye  Viwanja vya Karume, Ilala jijini Dar es Salaam.

Katika mchezo huo uliochezeshwa na Jackson Msilombo, Kessy Ngao, Heri Sassii na mtunza muda, Idd Maganga mabao ya Tanzania yalifungwa na Samwel Opanga aliyefunga la kwanza, la sita na saba wakati mengine yalifungwa na Kashiru Salum, Ally Babby na Ahmada Abdi aliyefunga

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG