| Meya wa Manispaa ya Dodoma Jaffary Mwanyemba akikazia jambo wakati alipokuwa akifungua mafunzo ya ujasiliamali wa viwanda kwa niabaya Mbunge wa Dodoma mjjini Anthon Mavunde |
| Mkufunzi wa ujasiriamali kwa njia ya viwanda vidogo vidogo Paul Mashauli akiwaonyesha wajasiriamali wa manispaa ya Dodoma Mashine ya kupukuchulia mahindi kilo 600 kwa saa. [PICHA NA JOHN BANDA] |
| Meneja wa SIDO mkoa wa Dodoma Ahmed Mwamponda akizungumza kwenye semina hiyo |
| Washiriki wa Semina hiyo wakiwa ukumbini |
Tags
BIASHARA