BANDA MEDIA BLOG

MWIJAGE AFANYA UTEUZI WAJUMBE WA BODI YA WAKURUGENZI YA TANTRADE.


indexKufuatia uteuzi uliofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, wa kumteuwa Mhandisi  Christopher Kajolo Chiza kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa  Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade), Mhe. Charles P.
J. Mwijage (Mb), Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji ameteua 
wafuatao kuwa wajumbe wa Bodi;
  1. Bibi Dorothy Stanley Mwanyika
  2. Bwana Canuth Gallus Komba
  3. Bwana Leo Mavika
  4. Bwana Alfred Mapunda
  5. Bwana Francis Abdallah Lukwaro 
    f) Bwana Geofrey Kirenga
  6. Bwana Mkwale Adam Taib
  7. Bwana Seif Said Issa
  8. i) Bwana Mohamed Jaffar Jummanne
Uteuzi huu unaanza tarehe 17 Desemba, 2016
Prof. Adol F. Mkenda
KATIBU MKUU
BIASHARA NA UWEKEZAJI

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG