BANDA MEDIA BLOG

RAIS WA TCCIA NDIBALEMA MAYANJA ATEMBELEA BENKI YA NMB

tcc
 Rais wa TCCIA Ndibalema Mayanja akibadilishana nyaraka na Mkurugenzi Mkuu wa NMB Bi Eneker wakati Rais wa TCCIA na ujumbe wake ulipofanya ziara kwenye bank ya NMB. Ziara hiyo yenye lengo la kukuza uhusiano na fursa za biashara kati ya NMB na TCCIA iliwashirikisha pia Makamu wa Rais wa TCCIA Viwanda Octavian Mshiu, Kaimu Mkurugenzi wa TCCIA Bw Muganda na Mshauri wa TCCIA Masoko na Biashara Imani Kajula.

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG