BANDA MEDIA BLOG

UONGOZI WA KIWANDA CHA CETAWICO WAWAPONGEZA WAKULIMA WA ZABIBU WAKATI WA HAFLA YAO

Mkuu wa Wilaya ya Dodoma mjini Chrstina Mndeme akiangalia  chupa ya mvinyo unazalishwa katika kiwanda cha CETEWICO kilichopo hombolo, wakati alipokuwa akitoa hotuba kwa wakulima wa zabibu  waliokusanyika katika kiwanda hicho kwa ajili ya hafra fupi.

Mkurugenzi wa Kiwanda cha kukamua mvinyo wa zabibu cha CETAWICO Fiorenzo Chesini akiongea jambo katika hafla hiyo 



Mke wa Mkurugenzi wa kiwanda cha kukamua zabibu cha CETAWICO Mwimbe Kamm akiongea jambo [PICHA NA JOHN BANDA]
Mtaalam wa Kutengeneza Wine ya Zabibu wa kiwanda cha CETAWICO Erik  Schlunz akimuelekeza jambo wakati akimuonyesha mashine za kukamulia zabibu, Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Christina Mndeme aliyefika kiwandani hapo kwa ajili ya hafla ya wakulima wa zao la zabibu




Wakulima wa zabibu wakiwa kwenye hafla hiyo





Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG