BANDA MEDIA BLOG

Huyu Ndiye Mwanamuziki Ghali Zaidi Afrika Kwa Sasa....





Tekno alilipwa shilingi bilioni 8.8 kusaini na Sony Music

Ili kusaini mkataba wake na Sony Music, hitmaker huyo wa Pana, amelipwa dola milioni 4, ambazo ni takriban shilingi bilioni 8.8 za Tanzania.

Hicho ni kiasi kikubwa zaidi kuwahi kupewa msanii wa Afrika kwenye record label deal. Taarifa za Tekno kuchukua mkwanja huo, zimetolewa na promota wake, Paul O wa kampuni ya Upfront & Personal kama anavyosikika akieleza kwenye video hiyo.

Umaarufu wa Tekno uliongezeka maradufu mwaka jana kufuatia mafanikio ya wimbo wake #Pana.

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG