BANDA MEDIA BLOG

Mzee Mwenye Wake 86 Afariki Dunia..!!


NIGERIA: Mzee mmoja(93) aliyekuwa na wake 86 na watoto zaidi ya 170 amefariki dunia kwa maradhi ambayo hayajawekwa wazi.
Mzee huyo ambaye ni Mhubiri wa zamani wa dini ya Kiislamu nchini Nigeria alikuwa akiwaambia Wanawake hao kuwa Mungu alimuagiza kuwaoa.

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG