Rais Magufuli alisafiri na ndege ya shirika la Ethiopian Airlines badala ya ndege yake (ndege ya Rais ya serikali) ili kupunguza gharama, kubana matumizi na kuokoa pesa za Umma kwa kupunguza matumizi katika masuala yasiyo na ulazima ikiwemo baadhi ya matumizi katika safari zake za ndani na nje ya nchi.
Rais Dr. Magufuli yupo nchini Ethiopia kuhudhuria mkutano wa 28 wa viongozi wa mataifa yanayounda Umoja wa Afrika.
Rais wangu… mzalendo na chachu ya matumizi makini ya fedha za Umma katika mambo chanyA+ pekee.
Tags
HABARI KITAIFA