Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema kuwa huu ni wakati
muafaka wa kuendeleza maazimio ya Ukuta kwa sababu waliyoyatabiri ndiyo
yanayotokea sasa.
Akizungumza na waandishi wa habari makamu mwenyekiti wa chama hicho,
Profesa Abdallah Safari amesema lengo la ukuta lilikuwa endelevu nz
lenye lengo la kukemea udikteta nyemelezi.
Alisema yale yaliyokuwa yakipingwa ndiyo yanajitokeza sasa, hivyo ni wakati wa kuuamsha kwa nguvu moja.
Tags
SIASA
