Akitoa taarifa katika kipindi cha infomer cha clouds FM kufuatia msako
wa kukamata wahusika wa madawa ya kulevya alichofanya mkuu wa mkoa Paul
makonda.
Askari 9 wamekamatwa wakishirikia na wauza madawa ya kulevya
wasanii waliotajwa na kutakiwa kuripoti polisi ni
1. Wema sepetu
2. Petiman wakuache
3. TID
4. Mr. Blue
5.Recho(kizunguzungu)
SOURCE; Clouds FM (Informer)
Tags
BIASHARA HARAMU

