Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi
ya Ununuzi na Ugavi wa Umma (PSPTB) Bw. Godfred Mbanyi akikata utepe
kuzindua Klabu ya wanafunzi wa Masomo ya Ununuzi na Ugavi
(Procuremdent And Supply Students Association PSSA) katika Chuo Cha
Taifa cha Usafirishaji (NIT) kwenye uzinduzi uliofanyika chuoni hapo
jijini Dar es salaam leo , Kutoka kulia wanaopiga makofi ni Amani Ngonyani Kaimu Mkurugenzi wa Mafunzo (PSPTB) na katikati ni Makamu Mkuu Fedha na Utawala Chuo Cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) Dr. Ethel Kasembe
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi
ya Ununuzi na Ugavi wa Umma (PSPTB) Bw. Godfred Mbanyi akikabidhi
zawadi kwa mwanafunzi Jamal Idd wa mwaka wa pili katika chuo hicho
wakati wa uzinduzi wa Klabu ya wanafunzi wa Masomo ya Ununuzi na Ugavi
(Procuremdent And Supply Students Association PSSA) katika Chuo Cha
Taifa cha Usafirishaji (NIT) katikati ni Makamu Mkuu Fedha na Utawala
Chuo Cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) Dr. Ethel Kasembe
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi
ya Ununuzi na Ugavi wa Umma (PSPTB) Bw. Godfred Mbanyi akikabidhi
zawadi kwa mwanafunzi Msafiri Kapella wa mwaka wa pili katika chuo
hicho wakati wa uzinduzi wa Klabu ya wanafunzi wa Masomo ya Ugavi na
Ununuzi (Procuremdent And Supply Students Association PSSA) katika Chuo
Cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) katikati ni Makamu Mkuu wa Chuo Fedha
na Utawala Chuo Cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) Dr. Ethel Kasembe
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi
ya Ununuzi na Ugavi wa Umma (PSPTB) Bw. Godfred Mbanyi akikabidhi
zawadi kwa mwanafunzi Jamal Idd wa mwaka wa pili katika chuo hicho
wakati wa uzinduzi wa Klabu ya wanafunzi wa Masomo ya Ugavi na Ununuzi
(Procuremdent And Supply Students Association PSSA) katika Chuo Cha
Taifa cha Usafirishaji (NIT) Kulia ni Shamim Mdee Afisa Mwandamizi Mahusiano ya Umma na Masoko.
Amani Ngonyani Kaimu Mkurugenzi wa Mafunzo (PSPTB)
akizungumza neno mara baada ya wanafunzi hao kukabidhiwa zawadi zao
kutoka (PSPTB) wakati wa hafla ya uzinduzi wa klabu ya wanafunzi wa
masomo ya Ununuzi na Ugavi (Procuremdent And Supply Students Association
PSSA) katika Chuo Cha Taifa cha Usafirishaji (NIT)
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi
ya Ununuzi na Ugavi wa Umma (PSPTB) Bw. Godfred Mbanyi na Makamu Mkuu
Fedha na Utawala Chuo Cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) Dr. Ethel Kasembe wakipiga picha ya pamoja na baadhi ya wanafunzi waliojishindia zawadi kutoka PSPTB wakati wa uzinduzi wa klabu hiyo.
Shamim Mdee
Afisa Mwandamizi Mahusiano ya Umma na Masoko akizungumza jambo na
wanafunzi wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji NIT wakati wa uzinduzi huo.
Kaimu
Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Ununuzi na Ugavi wa Umma (PSPTB) Bw.
Godfred Mbanyi kushoto , Amani Ngonyani Kaimu Mkurugenzi wa Mafunzo
(PSPTB) na Shamim Mdee Afisa Mwandamizi Mahusiano ya Umma na Masoko
wakijadili jambo wakati wa uzinduzi huo.
Amani Ngonyani Kaimu Mkurugenzi wa Mafunzo (PSPTB) na Shamim Mdee Afisa Mwandamizi Mahusiano ya Umma na Masoko na Amosi Kasinza Afisa Mkuu wa Utafiti na Ushauri (PSPTB) wakifuatilia jambo wakati wa uzinduzi huo.
Baadhi ya wanafunzi wakifuatilia mada zilizokuwa zikitolewa na wataalamu wa Ununizi na Ugavi katika uzinduzi huo
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Ununuzi na Ugavi wa Umma (PSPTB) Bw. Godfred Mbanyi akitoa mada ya maadili katika ununuzi na ugavi wa umma kwa wanafunzi hao.
Amosi Kasinza Afisa Mkuu wa
Utafiti na Ushauri (PSPTB) kushoto na baadhi ya viongozi wa klabu za
wanafunzi kutoka vyuo mbalimbali wakifuatilia jambo wakati wa uzinduzi
huo
Picha mbalimbali zikionyesha wanafunzi wakifuatilia mada za ugavi na ununuzi wa umma kutoka kwa wataalam mbalimbali wa PSPTB
Tags
USAFIRISHAJI