Baada
ya Jana Ridhiwani Kikwete Kukutana na Edward Lowassa Uwanja wa Taifa na
Kupiga nae Stori kidogo amefunguka haya kwenye ukurasa wake wa Twitter:
"Siasa
ni Shule ambayo haina kikomo. Tusichoke kujifunza. Mimi nahisi bado
niko shule ya Msingi na ninaendelea kujifunza.#siasasivita" Ridhiwani