Video..Spika Ndugai Awapiga Mkwara Mzito Polisi kwa Kukamatakamata Wabunge Ovyo..
byJohn Banda-
0
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Job Ndugai
amekemea tabia ya ukamatwaji wa wabunge wanapokuwa kwenye vikao vya
Bunge na kusema kuwa jambo hilo ni kinyume cha sheria na utaratibu.