Lissu Kidume..Aishinda Urais wa TLS kwa Kishindo...!!!
byJohn Banda-
0
Mwanasheria Mkuu wa Chadema na Mbunge wa Singida Mashariki,Tundu Lissu
Mapema Hii Leo ameweza kuibuka na ushindi wa kishindo cha Chama cha
Wanasheria Tanganyika TLS kwa Kujizolea Asilimia 88 ya Kura Zote.