BANDA MEDIA BLOG

MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE


1 2
Wafanyakazi wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu, Vijana na Watu wenye Ulemavu) washiriki sherehe za maadhimisho ya Siku ya wanawake duniani yenye kauli mbiu isemayo Tanzania ya Viwanda: wanawake ni Msingi wa mabadiliko kiuchumi. Maadhimisho hayo yamefanyika tarehe 8 Machi, 2017 katika Viwanja vya Mwembe yanga katika Wilaya ya Temeke Jijini Dar es Salaam.

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG