Wafanyakazi wa
Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu, Vijana na Watu wenye Ulemavu)
washiriki sherehe za maadhimisho ya Siku ya wanawake duniani yenye kauli
mbiu isemayo Tanzania ya Viwanda: wanawake ni Msingi wa mabadiliko
kiuchumi. Maadhimisho hayo yamefanyika tarehe 8 Machi, 2017 katika
Viwanja vya Mwembe yanga katika Wilaya ya Temeke Jijini Dar es Salaam.