BANDA MEDIA BLOG

MAAFISA MAWASILIANO SERIKALINI WAENDELEA KUNOANA KATIKA KIKAOKAZI MJINI DODOMA.


ULU
Mkurugenzi Idara ya Habari( MAELEZO) Dkt Hassan Abbasi akitoa mada katika kikao kazi cha maafisa Mawasiliano Serikalini kinachoendelea Mjini Dodoma Leo Marchi 17,2017.
ULU 1
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na  Michezo Bibi Nuru Millao akifuatilia mada katika kikao kazi cha maafisa Mawasiliano Serikalini kinachoendelea Mjini Dodoma Leo March 17,2017.

ULU 2
 Baadhi ya Maafisa Mawasiliano Serikalini wakfuatilia amda katika kikao kazi cha maafisa Mawasiliano Serikalini kinachoendelea Mjini Dodoma Leo March 17,2017.
Picha zote na Raymond Mushumbusi (WHUSM) Dodoma

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG