| Mbunge wa Dodoma mjini Anthon Mavunde na naibu waziri wa Kazi, Vijana na Aajira akizungumzia kampeni hiyo ya mauni 4 iliyofanyika katika shule ya Dodoma Sekondari |
| Walimu na wanafunzi wa shule 8 zilizoshiriki uzinduzi huo wakipunga mikono |
| Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Dodoma Hidaya Maeda akizungumza jambo katika uzinduzi huo |
| Mwandishi wa habari na Mtangazaji wa Tv Maimartha Jesse toka Jijini Dar akizunguzia athari za mimba kwa wanafunzi kwenye uzinduzi huo |
| Mbunge wa viti maalum mkoa wa Dodoma Felister Bura akizunguza jambo |
| Muwakilishi wa Chuo cha mipango |
| Mwalimu Mariamu Nyembela wa shule ya Nzuguni B akitoa burudani ya nyimbo ya magauni 4 katika uzinduzi huo |
| Burudani |
| Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Dodoma |
| DC akiwa katika picha na wanafunzi walioigiza magauni 4 |
| Msemaji wa DOYODO mr Jaruo akipeana mkoano na mkuu wa Wilaya |
| Mkuu wa Wilaya na Maimartha |
| Mc pilipili ambaye pia alisoma shule ya Dodoma Sekondari na Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Christina Mndeme wakiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi walioshiriki uzinzi huo |
| Maimartha Jesse akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wanafunzi mara baada ya uzinduzi huo |
Tags
ELIMU