Tanzania ina ugeni mzito wiki hii.Muigizaji mashuhuri wa filamu, Will
Smith amekuja nchini kwaajili ya mapumziko. Staa huyo wa Suicide Squad,
yupo kwenye mbuga ya wanyama ya Serengeti akifurahi uumbaji wa Mungu.
Hata hivyo imebainika kuwa Smith si staa pekee wa Marekani aliyepo
Tanzania. Supermodel wa Marekani, Chanel Iman naye amejumuika.
Kwenye Instagram, amepost picha akiwa na Will Smith mbugani Serengeti na
kuandika: Great places with great friends and Will is One of the
coolest.”
Tags
UTALII

