BANDA MEDIA BLOG

MWENYEKITI WA CCM, RAIS DK. MAGUFULI AONGOZA KIKAO CHA USALAMA NA MAADILI, LEO


 
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. John Magufuli akisalimiana na Makamu Mwenyekiti wa CCM, Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohammed Shein, alipowasili kuendesha kikao cha Usalama na Maadili, kilichofanyika leo Chamwino, Dodoma. Katikati ni Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan.
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. John Magufuli akizungumza na Makamu Mwenyekiti wa CCM, Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohammed Shein, alipowasili kuendesha kikao cha Usalama na Maadili, kilichofanyika leo Chamwino, Dodoma.
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. John Magufuli akizungumzana Makamu Mwenyekiti wa CCM, Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohammed Shein, alipowasili kuendesha kikao cha Usalama na Maadili, kilichofanyika leo Chamwino, Dodoma. Kulia ni Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan na kushoto ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi.

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akitoa maelezo ya ufunguzi wa kikao hicho
 Dk. Magufuli akiendesha kikao hicho
 Dk. Magufuli, Dk. Sheini na Makamu Mwenyekiti waCCM -Bara, Philip Mangula wakifurahia jambo wakati wa kikao hicho
 Kikao kikiendelea

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG