Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia wananchi wa Mtwara katika
siku ya mwisho wa ziara yake katika Viwanja vya Mashujaa mkoani Mtwara.
Wananchi wa Mtwara wakifurahia
hotuba iliyokuwa ikitolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Dkt. John Pombe Magufuli katika Viwanja vya mashujaa mkoani Mtwara.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwaaga wananchi wa Mtwara mara baada
ya kumaliza kuwahutubia katika viwanja vya Mashujaa mkoani Mtwara.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwaaga wananchi wa Mtwara mara baada
ya kumaliza kuwahutubia katika viwanja vya Mashujaa mkoani Mtwara-PICHA
NA IKULU
Tags
HABARI KITAIFA