Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli amefanya
mabadiliko madogo kwenye baraza la Mawaziri ambapo sehemu ya mabadiliko
hayo ni kumteua Waziri mpya wa Habari, Sanaa, Utamaduni na michezo… na
taarifa kamili ndio hii hapa chini kutoka IKULU.
