Makamu wa Pili wa Rais akikata
utepe kuashiria kuzindua kazi ya utafiti wa utafutaji na Uchimbaji wa
Mafuta na Gesi Asilia Zanzibar jana katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa
wa Abeid Amani Karume(Picha na Dk. Juma Mohammed.
Ndege
ya Utafiti wa Uchimbaji wa Mafuta na Gesi Asilia kutoka Kampuni ya Bell
Geospace ya Uningereza ikiwa tayari kuanza kazi hiyo Visiwani
Zanzibar.
Tags
ZANZABAR