| Wanamichezo wa Dodoma Fitness Jogging wakishiriki mazoezi ya km 5 na Waziri wa Afya Ummy Mwalimu, watumishi wa Tamisemi, wilaya na mkoa yaliyoanzia viwanja vya Bunge mpaka uwanja wa Jamhuri |
| Waziri wa Afya Ummy Mwalimu akishiriki mazoezi ya viungo katika uwanja wa jamhuri [PICHA NA JOHN BANDA WA BANDA BLOG] |
| Mama Issa Bonge wa Dodoma Fitness Jogging akishiriki mazoezi ya Mgongo katika mazoezi hayo |
| Katibu na Mwalimu Dodoma Fitness Jogging Wille Mteko akihamsisha katika mazoezi hayo |
| Mazoezi yakiendelea |
| Afsa Habari wa Taasisi ya Vijana ya DOYODO mwenye jezi ya Orenge akishiriki mazoezi hayo |
| Mwalimu Mussa Omary na Failuna Bakari wakiongoza mazoezi hayo |
| Picha ya pamoja |
| Watumishi wa Ofisi ya Rais Tamisemi wakiwa katika picha ya pamoja baada ya mazoezi hayo |
| Waziri wa Afya Ummy Mwalimu akizunguza jambo baada ya mazoezi haya |
Tags
MAZOEZI NI AFYA