wataalamu husema kifo huwa na hatua tatu
hatua ya kwanza ni kukikataa kifo,yaani hapa sasa mtu anahangaika kuhakikisha anaokoa uhai wake kwa kila namna
hatua ya pili ni makubaliano au mapatano, (wazungu husema kubargain)
yaani hapa ndio anahangaika kweli mara mumkute katulia kama kafa mara
yuko macho
hatua ya tatu ni kukikubali kifo (hapa sasa ndio mtu yuko tayari kufa
nyie mnamuona kama amegive up) mtu huwa tayari kabisa kakubali matokeo
kuwa ndio anaondoka.
Tags
KIFO
