Mkuu wa kikosi cha usalama
barabarani mkoa wa Ruvuma ABEL SWAI amewataka madereva pikipiki maarufu
kama bodaboda kuvaa kofia ngumu katika kujinga na ajali za mara kwa mara
wawapo barabarani kwa undani wa habari hii , Hii hapa video yake.
https://youtu.be/oEIgzPik6Gk