BANDA MEDIA BLOG

SIRARI: Mzee wa Miaka 78 Ajiunga na Darasa la Kwanza..!!!


Waswahili husema ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni, na elimu siku zote haina mwisho.
Huko Sirari Mkoani Mara Mzee wa miaka 78 amejitosa na kuanza darasa la kwanza mara tu baada ya kuhitimu masomo yake ya elimu ya awali.
Mzee Nyamhanga Seguta alifikia uamuzi huo baada ya kuteseka sana na mahesabu katika biashara yake ya kuuza ndizi.

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG