BANDA MEDIA BLOG

BULEMBO AHITIMISHA ZIARA YAKE YA KICHAMA WILAYANI DODOMA MJINI

Mjumbe wa Halmashauri kuu ya Taifa ya CCM [NEC] Abdalla Bulembo akifafanua jambo wakati alipokuwa akizunguza na wanaccm wa Manispaa ya Dodoma wakati alipokuwa akihitimisha Ziara yake ya siku 4 Wilayani humo

Mbunge wa Jimbo la Dodoma mjini ambaye pia ni MNEC wa CCM A nthoni Mavunde akizungumza jambo wakati alipokuwa akizungumza katika kilele cha ziara ya Bulembo

Wananchama wa CCM wakifuatilia jambo katika ukumbi wa White House mjini Dodoma wakati hotuba mbalimbali zilipokuwa zikitolewa  siku ya mwisho ya ziara ya Mnec Abdala Bulembo katika wilaya ya Dodoma

Kamisaa wa CCM wilaya ya Dodoma mjini  Christina Mndeme akipiga makofi wakati alipokuwa akiwaongoza kwa wimbo viongozi wangazi mbalimbali na wanaccm katika ukumbi wa mikutano wa CCM wakati Mnec Bulembo alipokuwa akihitimisha ziara yake wilayani Humo [PICHA NA JOHN BANDA WA BANDA BLOG]

Wanaccm wakiwa ukumbini hapo
Mwanasiasa mkongwe wa Chama cha Mapinduzi Barozi Lusinde  akakazia jambo kwenye mkutano huo

Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Dodoma mjini Paulo Luhamo akizungumza jambo





Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG