Masheha wa Kaskazini Unguja wakipita mbele ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani), wakati wa maandamano katika Sherehe za Kilele cha maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani zilizofanyika leo katika viwanja vya Mpira Mahonda Wilaya ya Kaskazini “B” Unguja,[Picha na Ikulu.] 01/05/2017.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) pamoja na Viongozi
mbali mbali wakishikana mikono kuonesha ishara ya Mshikamano wakati
wimbo maalum wa siku ya Wafanyakazi Duniani ukiimbwa katika kilele cha
Maadhimisho ya Sherehe zilizofanyika leo katika viwanja vya Mpira Mahonda Wilaya ya Kaskazini “B” Unguja,[Picha na Ikulu.] 01/05/2017.
Mwakilishi wa
Shirika la Wafanyakazi Duniani ILO Bw.Abert Okelo alipokuwa akitoa
salamu za Shirika lake wakati wa Sherehe za Siku ya Wafanyakazi Duniani
zilizofanyika leo katika viwanja vya Mpira Mahonda Wilaya ya Kaskazini “B” Unguja,mgeni rasmi akiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani),[Picha na Ikulu.] 01/05/2017.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti
wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akipokea Taarifa ya
Mwenyekiti wa Chama cha Waaajiri Zanzibar ZANEMA Bw.Salah A.Salah wakati
wa sherehe za maadhimisho ya siku ya Kilele cha Wafanyakazi Duniani
zilizofanyika leo katika viwanja vya mpira Mahonda Wilaya ya Kaskazini “B” Unguja,[Picha na Ikulu.] 01/05/2017.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akipokea Risala ya
Katibu Mkuu wa Vyama vya Wafanyakazi Zanzibar Maalim Khamis Mwinyi
wakati wa sherehe za maadhimisho ya siku ya Kilele cha Wafanyakazi
Duniani zilizofanyika leo katika viwanja vya mpira Mahonda Wilaya ya Kaskazini “B” Unguja,[Picha na Ikulu.] 01/05/2017.
Waziri wa Kazi,Uwezeshaji,Wazee,Vijana,W anawake
na Watoto Mhe,Maudline Cyrus Castico alipokuwa akizungumza na wananchi
na kumkaribisha Mwenyekiti wa Vyama vya Wafanyakazi katika Sherehe za Kilele cha maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani,zilizofanyika katika viwanja vya Mpira Mahonda Wilaya ya Kaskazini “B” Unguja leo, [Picha na Ikulu.] 01/05/2017.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akimkabidhi zawadi Nd,Asia Hassan Shariff Mfanyakazi
wa Chama cha ZUPHE kutoka Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais,Cheti na
Fedha tasilim Shilingi za Kitanzania Millioni moja,(1,000,000,00) katika
sherehe za kilele cha siku ya Wafanyakazi Duniani (MEI DAY)
zilizofanyika leo viwanja vya Mpira Mahonda Wilaya ya Kaskazini “B
“Unguja, [Picha na Ikulu.] 01/05/2017.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akimkabidhi zawadi Nd,Khalifa Muumin Hilali Mfanyakazi
wa Chama cha ZAFICOWU kutoka Mfuko wa Hifadhi ya Jamii ZSSF,Cheti na
Fedha tasilim Shilingi za Kitanzania Laki saba (700,000.00) katika
sherehe za kilele cha siku ya Wafanyakazi Duniani (MEI DAY)
zilizofanyika leo viwanja vya Mpira Mahonda Wilaya ya Kaskazini “B
“Unguja, [Picha na Ikulu.] 01/05/2017.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akimkabidhi zawadi Nd,Asia Ismail Mohammed kutoka
ZUPHE katika Ofisi ya Rais Ikulu,Cheti na Fedha Tasilim Shilingi za
Kitanzania Laki sita (600,000.00) katika sherehe za kilele cha siku ya
Wafanyakazi Duniani (MEI DAY) zilizofanyika leo viwanja vya Mpira
Mahonda Wilaya ya Kaskazini “B “Unguja, [Picha na Ikulu.] 01/05/2017.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akimkabidhi zawadi Nd,Juma Mohammed Simai kutoka
ZUPHE katika Ofisi ya Rais Ikulu,Cheti na Fedha Tasilim Shilingi za
Kitanzania Laki sita (600,000.00) katika sherehe za kilele cha siku ya
Wafanyakazi Duniani (MEI DAY) zilizofanyika leo viwanja vya Mpira
Mahonda Wilaya ya Kaskazini “B “Unguja, [Picha na Ikulu.] 01/05/2017.
Tags
TUCTA ZNZ