![]() |
| Mtunza Hazina wa Dodoma Fitness Jogging Clara Macha akiwa amembeba mmoja wa watoto wanaolelewa katika kitio Cha Rahman Chang'ombe Juu Mara baada ya Kukabidhi msaada wa vyakula na vinywaji. |
| Baadhi ya wanamichezo hao wakifanya mazoezi pamoja na watoto hao katika viwanja vya kituo hicho [PICHA NA JOHN BANDA WA BANDA BLOG] |


![]() |
| Picha ya pamoja kati na watoto wa hao baada ya kukabidhiwa msaada huo |
Tags
MSAADA








