BANDA MEDIA BLOG

HIVI NDIVYO UPENDO DAVID MAZOYA ALIVYOAGWA KATIKA UKUMBI WA CAVILAM MJINI DODOMA

Upendo David Mazoya
 
Bibi Harusi Mtarajiwa Upendo Mazoya na Msimamizi wake Vaileth Mhiga wakiwa katika Pozi la Picha mara Baada ya Kumaliza Shuhuli za Kupambwa katika Saloni Maarufu ya Siri ya Mjini Dodoma Kabla ya Kwenda Ukumbini Kuagwa na Wazazi wake.
Upendo Mazoya katika Pozi [PICHA NA VIDEO JOHN BANDA WA BANDA BLOG 0754 720 777]

Mashangazi wa Bibi na Bwana Harusi Watarajiwa wakicheza Ngoma ya Kisukuma katika ukumbi wa Cavilam mjini Dodoma wakati wa sherehe ya Kumuaga [SEND OFF] Bi Upendo Magoma Hayupo pichani
Wageni Waalikwa Wakicheza Kwaito pamoja na Bibi Harusi Mtarajiwa katika Ukumbi wa Cavilam Mjini Dodoma

Bibi Harusi Mtarajiwa Upendo Mazoya Akiwaelezea Wageni Waalikwa Maana ya Kumpatia Zawadi za Jezi za Yanga ya Tanzania na Asenal ya Uengereza Mume Wake Mtarajiwa Faustine Magoma katika Tafrija ya Kuagwa na Wazazi Wake iliyofanyika katika ukumbi wa Cavilam Mjini Dodoma
Mwenyekiti wa Kamati ya Maandilizi ya Send Off ya Upendo Mazoya Mwalimu Lenjole akizungumza jambo mbele ya Bibi Harusi Ntarajiwa na Wajumbe wa Kamati hiyo
Picha ya Pamoja na Ndg zake
Asante Kunisimamia Rafiki yangu Valeth Mhiga
 

Maharusi Watarajiwa Faustne Magoma na Upendo Mazoya wakifurahia Jambo wakati wa Send Off ya Bibi Harusi huyo Mtarajiwa katika Ukumbi wa Cavilam Mjini Dodoma
Kaka wa Bibi Harusi Akimpatia Zawadi ya Pesa Dada yake Huku akizisindikiza na Ujumbe Kuwa alivyotoka Nyumbani Ndivyo akaendelee Kuishi

Asante Kwa.............

Bwana Harusi Mtarajiwa Fausitine Mahaiga akiwa na Msimamizi wake Denis Mahelela wakati wa Tafrija hiyo
Shangazi wa Bibi Harusi Sara Thomas akipata Chakula Kwenye Tafrija hiyo

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG