BANDA MEDIA BLOG

Hizi ndizo Sababu za Mnyama aina ya Nguruwe poli , Ngiri, Naguruwe wa Kufugwa kupigwa marufuku kuliwa Dodoma....!!!

Nguruwe
Kitimoto ikiwa imeandaliwa tayari kwa kuliwa na ndizi


Mazao Mengine ya Kitimoto



Kwa mujibu wa Taarifa iliyotolewa na halmashauri ya manispaa ya Dodoma imeonyesha kuna mlipuko wa Homa ya Nguruwe ambao mpaka sasa umeshaua zaidi ya 280 katika kata za miyuji na Ipagala za wanyama hao

Ofisa Habari wa Manispaa hiyo Ramadhan Juma amesema kutokana na hali hiyo ni marufuku kufanya biashara ya mnyama huyo wala mazao yake mpaka itkapotangazwa vinginevyo

Iadha amesema kuanzia sasa mnyama wa jamii ya nguruwe kwa maana ya Nguruwe Poli, Ngiri na hata nguruwe wa kufugwa hawata luhusiwa kuingia wala kutoka Dodoma mpaka kwa kibali maalumu kutoka Manispaa

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG