Mwigulu: Nilitegemea Mawakili Wakubwa na Wasomi Kama Lissu Wajitokeze na Kuanza Kuwashitaki ACACIA..!!!
byJohn Banda-
0
Akiwa Singida Mwigulu Nchemba amesema watu wa Singida wana matatizo
kidogo kutokana na Kaka yao, Mwanasheria Tundu Lissu kutetea watu
wanaoibia rasilimali za Tanzania na kutishia tutashitakiwa.
Amesema pia alitegemea mawakili wakubwa na wasomi wajitokeze na kuanza kuwashitaki ACACIA.