Djihad Bizimana akishangilia bao lake kwa staili ya kusujudu. ( Picha Hisani / NewTimes )
Katika mchezo huo wa kirafiki wa kimataifa kuadhimisha kumbukumbu ya maadhimisho ya mauaji ya kimbari ya mwaka 1994, Rwanda ilipata mabao yake kupitia kwa Bizimana dakika ya 30 na Danny Usengimana kipindi cha pili.
Usengimana anaichezea klabu ya Polisi ya Ligi Kuu Rwanda na amekuwa akihusishwa na kujiunga na Singida United.
Tags
MICHEZO KIMATAIFA