BANDA MEDIA BLOG

JUKWAA la Wahariri(TEF) Laikemea CHADEMA kwa Kuwafukuza Waandishi wa TBC ktk Mkutano wa Tundu Lissu


Jukwaa la wahariri limepokea kwa masikitiko taarifa za kufukuzwa kwa waandishi wa habari wa kituo cha runinga cha TBC wakati wakitekeleza majukumu yao.

Wamesema kwamba vitendo vya kuwabugudhi waandishi wa habari haviwezi kupewa nafasi katika jamii na Uongozi wa CHADEMA uchukue hatua stahiki kuhusu suala hili.

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG