
Rais anasafishasafisha uchafu Serikalini baadhi ya wanainchi hawataki.!!
Viongozi wanaiba rasilimali za nchi na Rais anahakikisha viongozi wote wa hivyo wanatimuliwa na kushtakiwa baadhi yetu wahataki
Sasa tuwaitaje watu kama hao ambao kila Kitu wao hawataki.
By tramadol
Tags
SIASA