Ametoa siku kumi kwa tume atakayoiunda ije na majibu ya suluhisho la namna mfumo huo utakavyoweza kufanya kazi,ameeza kwamba, "wako wataam walishakwenda mpaka China na serikali kugharimia safari na mafunzo tangu serikali ya awamu ya nne na akaagiza CAMERA zifungwe lakini mpaka leo hakuna lolote"
Alisema,"Sasa mimi siendi nchi yoyote nipo hapahapa Dar es Salaam na nitahakikisha CAMERA zitafungwa".
Mfumo huo ni Tanzania Tracking Technology of Security Monitoring System. Mfumo huu waweza kusaidia kutambua aina ya gari,jina la driver na hata kuweza kuzima/switch off gari iliyoibiwa.