Image caption Shambulizi la bomu lawaua watu 24 Kabul
Mshambuliaji wa kujitoa mhanga alijilipua katika eneo lenye washia wengi magharibi mwa mji.
Lengo la shambulizi hilo halikutajwa mara moja na hakuna mtu aliyedai kuhusika.
Hakuna kundi la kigaidi lililodai kuhusika.
Mashambulizi ya awali yamedaiwa kutekelezwa na Taliban au kundi la Islamic State.
Kabul umekumbwa na misururu ya mashambulizi likiwemo lililowaua watu 90 wakati lori lililipuka mwezi Mei.
Tags
SHAMBULIZI