July 30 amepata nafasi ya kuichezea timu yake ya Jadid mchezo wa kwanza wa kirafiki na kufunga goli wakipoteza kwa magoli 2-1, kocha wa Jadid aliamua kuchezesha vikosi viwili katika mchezo huo ambapo kila kikosi kilicheza kwa dakika 45.
Dakika 45 za kwanza kocha wa El Jadid alichezesha wachezaji aliyopandisha kutoka team B na wachezaji wanaofanya majaribio ambapo kikosi hicho kilifungwa magoli mawili na ndio dakika 45 za pili Simon Msuva na wachezaji wengine wakaingia na Msuva akafunga goli la kufutia machozi.
Tags
MSUVA