Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai amesema
amepokea taarifa kutoka kwa Mhe. Ibrahim Lipumba Mwenyekiti wa Taifa wa
Chama cha wananchi CUF, Ibrahim Lipumba ya kuwafukuza wabunge na 8 na
Madiwani wawili.Baada ya kuitafakari barua hiyo Spika amesema atoa
maamuzi.