
Dkt. Steven Juma Mdachi alikuwa Mhadhari wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Kitivo cha Uhandisi, Idara ya Kemia.
Akiwa nyumbani kwa Marehemu Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Mhe. Rais Magufuli ametia saini kitabu cha maombolezo na kuwapa mkono wa faraja Mjane wa Marehemu Mama Mary Mdachi, watoto wa Marehemu, wafanyakazi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam pamoja na ndugu jamaa na marafiki.
Tags
John Magufuli