Wakati Rais Magufuli anatoa kauli hii, wapo waliobeza wakidhani kuwa
haitekelezeki. Hata hivyo, hadi sasa ukweli ni kwamba Rais Magufuli
kafanikiwa kudhibiti maandamano na migomo nchi nzima.
Ukiona maandamano
basi ujue ni ya kuunga mkono juhudi zake anazofanya kuwaletea maendeleo
wananchi. Hakuna mtutu wa bunduki wala virungu vilivyotumika kuzima
migomo na maandamano. Ni mikwara yake tu pamoja na kushungulikia chanzo
cha migomo na maandamano hayo.
Hongera Rais Magufuli. Kwa hili umeinyoosha nchi.