
Amesema kwa sababu hali ni mbaya sana ipo haja ya kuunda tume huru ya bunge
Ameonyesha habari iliyoandikwa na gazeti la Nipashe ya miili ya watu 15 kukutwa kwenye viroba baharini na walioua hawajulikani hii ni ishara kuwa hali ni mbaya
Pia ameziasa taasisi za kutetea haki za binadamu kukemea hali hii
Amesema waliopotelewa na ndugu watoe taarifa polisi na kwa viongozi kama wao
Tags
SHEKH PONDA