BREAKING NEWS: Askofu Gwajima Amefutiwa Kesi ya Kushindwa Kutunza Siraha
byJohn Banda-
0
Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amefutiwa kesi ya
kushindwa kutunza silaha baada ya mahakama kushindwa kuthibitisha
mashtaka hayo, na kuamuru arudishiwe mkoba wenye silaha yake.