BANDA MEDIA BLOG

MWAKYEMBE ASHIRIKI BONANZA LA JOGGING MJINI DOOMA, AMUAGIZA MKURUGENZI WA MICHEZO KUKAA NA VIONGOZI WA CLUB ZA DODOMA ILI KUJUA CHANGAMOTO ZAO



Waziri wa Habari ,Michezo na Utamaduni Halson Mwakyembe akishiriki Zoezi la Kukimbia pamoja na Naibu wake Mh. Wambura na Naibu Waziri wa Ujenzi Anjelina Mabura Mwingine ni Mwenyekiti wa Muungano  Jogging Iliyoanda Bonanza Hilo [SABUUFA]
Naibu Spika wa Bunge Dkt, Tulia Akson akiwahamasisha wanamichezo kukimbia wakati wa Bonanza la vikundi vy aJogging toka Bara na Visiwani lililofanyika katika uwanja wa jamhuri mjini Dodoma likishilikisha michezo mbalimbala ambalo lilindaliwa na Muungano Jogging

Waziri wa Habari Utamaduni na Michezo Dkt, Halson Mwakyembe akifafanua jambo wakati akiongea na vikundi vya Jogging vilivyoshiriki Bonza la Michezo lililoandaliwa na Muungano Jogging ya Mjini Dodoma wengine ni Naibu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt, Tulia Aksin na Mbunge wa Kuteuliwa Salma Kikwete [PICHA NA JOHN BANDA WA BANDA BLOG]






















Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG