
Kwa gharama za nani? Kama za kwao kwanini wasirudi nyumbani kisha hizo fedha wachangie kwenye matibabu?
Tena lile jopo limeambatana na Wake na wenza wao, WHY?
Yawezekana na wao ni sehemu ya matumizi ya fedha zinazochangwa na Watanzania walalahoi........
Jamani rudini nyumbani tuhamasishe michango maisha ya Nairobi ni ghali sana......
By Kurzweil/JF
Tags
Tundu Lisu